• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

United Republic of Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

CHANJO YA HPV KUANZA KUTOLEWA WILAYANI KARAGWE APRIL 22, 2024

Imewekwa: April 18th, 2024


Zaidi ya Mabinti 33,720 wenye miaka 9-14 wilayani Karagwe wanatarajia kupata chanjo ya HPV dhidi ya Saratani ya mlango wa Kizazi kupitia kampeni ya siku tano kuanzia april 22 mwaka huu.

Taarifa hiyo imetolewa na Mganga mkuu wa Wilaya ya Karagwe Dr. Agnes Mwaifuge katika kikao cha kamati ya Afya Msingi PHC kilichoketi katika ukumbi mdogo wa ofisi za mganga mkuu Hospitali ya Wilaya Karagwe Nyakanongo.

Dr: Mwaifuge amesema kuwa kampeni hhi ya utoaji chanjo itafanyika katika shule za msingi na Sekondari na vituo vya tiba kwa walengwa kwa siku tano kuanzia april 22 hadi 26 mwaka huu ingawa zoezi hilo litaendelea mpaka mwezi wa 12, na kuwa watoto zaidi ya 33720 watafikiwa na kuchanjwa.

Ameongeza kwa kusema kuwa kwa sasa dozi ya chanjo hiyo ni moja bali kwa mabinti wanaoishi na virusi vya Vvu ambao wao watapewa dozi tatu kutokana na kinga yao kuwa chini.

Aidha Mwenyekiti wa kikao hicho ambae ni Mkuu wa Wilaya ya Karagwe Julius Laizer ameishukuru Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoongozwa na Rais Dr. Samia Suluhu Hassan kwa kutuletea Chanjo hii ya saratani ya mlango wa kizazi ili kuwakinga watoto wetu wa kike dhidi ya ugonjwa huu hatari.

Pia Mhe: Laiser amekemea baadhi ya imani potofu zinazoendekezwa na baadhi ya wananchi huku akiitaka idara ya Afya kuendelea kutoa elimu sahii juu ya umuhimu wa chanjo kwa kutumia vyombo mbalimbali vya habari kwani chanjo ni salama na haina madhara yoyote na  wazazi wawahimize watoto wao kupata chanjo hii ambapo Mkoa unatarajia kuchanja watoto wapatao 271,650.

Nao Baadhi ya wajumbe wa kikao hicho wameahidi kutoa ushirikiano ili zoezi hilo liweze kufanikiwa.






Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMI 10 October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI KADA YA DEREVA II NA WAANDISHI WAENDESHA OFISI II September 30, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WASAIDIZI KUMBUKUMBU DARAJA LA II NA MTENDAJI WA KIJIJI WA III October 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI February 21, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAKETI KUJADILI UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE, KIPINDI CHA ROBO YA TATU 2024/2025.

    April 22, 2025
  • KUELEKEA MSIMU WA KAHAWA 2025/2026: MAAFISA UGANI KARAGWE DC WAPEWA MAFUNZO ILI KUWASAIDIA WANANCHI KUONGEZA THAMANI YA ZAO HILO.

    April 11, 2025
  • WALENGWA WA TASAF KARAGWE DC WANUFAIKA NA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA KIFEDHA WALIZOANZISHA.

    March 17, 2025
  • DC LAIZER AWATAKA WANAWAKE WA KARAGWE KUJIIMARISHA KIUCHUMI.

    March 08, 2025
  • Angalia zote

Video

SHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 KARAGWE TUMEJIPANGA
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 028-2227148

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.