• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

United Republic of Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

BUGENE SEKONDARI KUKIMBIZANA KITAALUMA KEMEBOS, NYAISHOZI

Imewekwa: July 24th, 2022

BUGENE SEKONDARI YAKIMBIZANA  KEMEBOS, NYAISHOZI KITAALUMA 2022

Shule ya sekondari ya Bugene ya Halmashauri ya wilaya ya Karagwe imeshika nafasi ya tatu (3)kimkoa  katika matokeo ya mitihani ya kidato cha sita 2022. Shule hiyo inataasusi za HGE,HGL,HGK,HKL na CBG.

Jumla ya wanafunzi 192 waliofanya mtihani wa kuhitimu kidato cha sita 2022 na kati ya hao, wanafunzi 139 wamepata daraja la I (division one) na wanafunzi 53 walipata daraja la II (division II).  

Bw. Leonard Rwazo, Mkuu wa shule ya sekondari Bugene amesema kuwa, “ … tumejipanga na tunaendelea kuweka mikakati ya kufuta daraja la pili katika matokeo ya mitihani ya kidato cha sita 2023. Kwa sasa shule tunazokimbizana nazo kitaaluma ni Kemebos na Nyaishozi ”. Alisema  Bw. Rwazo

Aidha, wanafunzi  nao wanaendelea kujiandaa vizuri kwalengo la kuendeleza ufaulu mzuri. Kwa kipindi cha miaka saba mfululizo, shule ya sekondari Bugene imekuwa ikipanda kielimu. Kila mwaka inazidi kufanya vizuri zaidi. Kwa mfano, mwaka 2021 kulikuwa na wanafunzi 206 na kati hao, waliopata daraja la kwanza ni 85, daraja la pili 92 na daraja la tatu 29. Kwa mwaka 2020, waliopata daraja la kwanza 31, daraja la pili 79, daraja la tatu 42 na daraja la nne 01. 

Pia kwa mwaka 2019, Shule ya sekondari Bugene ilikuwa na watahiniwa 127 wa kidato cha sita.  Wanafunzi 39 walipata daraja la kwanza, wanafunzi 58 daraja la pili, 29 daraja la tatu na 01 daraja la nne. Kwa mwaka 2018, daraja la kwanza 10, daraja la pili 61, daraja la tatu 43, daraja la nne 04 na daraja la sifuri 01.Kwa mwaka 2017, daraja la kwanza 13, daraja la pili 41, daraja la tatu 22 na daraja la nne 02 na kwa mwaka 2016, daraja la kwanza 04, daraja la pili 22, daraja la tatu 16, daraja nne 01 na daraja sifuri 02.

Kwa mkoa wa Kagera, shule ya kwanza ni Kemebos (shule binafsi na yakwanza Kitaifa), shule ya pili kimkoa ni Nyaishozi (shule binafsi na yasaba Kitaifa) na shule ya tatu ni Bugene sekondari (ya serikali na ya 57 Kitaifa).

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMI 10 October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI KADA YA DEREVA II NA WAANDISHI WAENDESHA OFISI II September 30, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WASAIDIZI KUMBUKUMBU DARAJA LA II NA MTENDAJI WA KIJIJI WA III October 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI February 21, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAKETI KUJADILI UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE, KIPINDI CHA ROBO YA TATU 2024/2025.

    April 22, 2025
  • KUELEKEA MSIMU WA KAHAWA 2025/2026: MAAFISA UGANI KARAGWE DC WAPEWA MAFUNZO ILI KUWASAIDIA WANANCHI KUONGEZA THAMANI YA ZAO HILO.

    April 11, 2025
  • WALENGWA WA TASAF KARAGWE DC WANUFAIKA NA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA KIFEDHA WALIZOANZISHA.

    March 17, 2025
  • DC LAIZER AWATAKA WANAWAKE WA KARAGWE KUJIIMARISHA KIUCHUMI.

    March 08, 2025
  • Angalia zote

Video

SHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 KARAGWE TUMEJIPANGA
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 028-2227148

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.