• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

United Republic of Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

BOT YATOA MAFUNZO YA FEDHA NA UWEKEZAJI KARAGWE DC.

Imewekwa: February 10th, 2025

BOT YATOA MAFUNZO YA FEDHA NA UWEKEZAJI KARAGWE DC.


Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imetoa mafunzo ya fedha na Uwekezaji kwa Wastaafu, Watumishi, Viongozi wa Vyama vya Ushirika na Watoa huduma za fedha wa Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe.

Mafunzo hayo yamelenga  kueneza Majukumu ya Benki kuu ya Tanzania (BOT) ikiwemo kuhakikisha utulivu wa maswala ya uchumi, Kutambua alama za usalama wa noti na sarafu, Utunzaji wa fedha na utoaji huduma za fedha pamoja na namna sahihi ya kufanya uwekezaji, mafunzo hayo yamefanyika leo Februari 10, 2025 kwenye Ukumbi wa Halmashauri (ANGAZA).

Akiongoza Mafunzo hayo, Meneja Fedha na Utawala (BOT) Tawi la Mwanza Ndg. Meso Gaitoti amesema kuwa Benki kuu ya Tanzania inatambua kuwa swala la fedha ni nyeti hivyo ni vyema elimu ikatolewa kwa makundi mbalimbali ya watu nchini ili kuwajengea uelewa katika masuala ya kutambua alama za usalama wa fedha, Utunzaji na fursa za uwekezaji pamoja na sababu za ubadilishwaji wa fedha kwenye mzunguko.

Aidha, Ndg. Gaitoti alitumia nafasi hiyo kusisitiza Wananchi kubadilisha fedha ambazo  hazitatumika tena kwenye malipo au kubadilishwa na benki Nchini kuanzia Aprili 6, 2025 kwa sababu hazitakua halali na zitaondolewa kwenye mzunguko ambazo ni shilingi 20, 200, 500, 1,000, 2,000, 5,000 na 10,000 kwa matoleo ya mwaka 1985 hadi 2003, pamoja na noti ya shilingi 500 ya mwaka 2010.

Kwa upande wake, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe Ndg. Wilson Nyamunda amewashukuru wawezeshaji kutoka BOT kwa mafunzo na kuwataka waliopata mafunzo hayo kuyafanyia kazi ikiwemo uwekezaji pamoja na kuwafikishia ujumbe wengine ili mafunzo hayo yawe na tija kwenye jamii nzima ya Karagwe.

Vilevile, Washiriki wa mafunzo walipata wasaa wa kuuliza maswali mbalimbali kufuatia mada zilizowasilishwa na wakufunzi kutoka BOT ambapo moja ya swali lililoulizwa ni kuhusu mikopo ya kaushadamu na kuomba mafunzo kama haya kutolewa mara kwa mara kwani yanaleta tija kwa jamii.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMI 10 October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI KADA YA DEREVA II NA WAANDISHI WAENDESHA OFISI II September 30, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WASAIDIZI KUMBUKUMBU DARAJA LA II NA MTENDAJI WA KIJIJI WA III October 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI February 21, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAKETI KUJADILI UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE, KIPINDI CHA ROBO YA TATU 2024/2025.

    April 22, 2025
  • KUELEKEA MSIMU WA KAHAWA 2025/2026: MAAFISA UGANI KARAGWE DC WAPEWA MAFUNZO ILI KUWASAIDIA WANANCHI KUONGEZA THAMANI YA ZAO HILO.

    April 11, 2025
  • WALENGWA WA TASAF KARAGWE DC WANUFAIKA NA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA KIFEDHA WALIZOANZISHA.

    March 17, 2025
  • DC LAIZER AWATAKA WANAWAKE WA KARAGWE KUJIIMARISHA KIUCHUMI.

    March 08, 2025
  • Angalia zote

Video

SHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 KARAGWE TUMEJIPANGA
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 028-2227148

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.