• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

United Republic of Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

ASILIMIA 75.5 YA MAPATO YA HALMASHAURI YAMEKUSANYWA KWA ROBO YA TATU

Imewekwa: May 8th, 2024

Mwenyekiti wa Halmshauri ya Wilaya ya Karagwe Mhe: Wallace Mashanda  ameipongeza kamati ya ukusanyaji mapato ya Halmshauri ya Wilaya ya Karagwe kwa usimamizi mzuri. Kauli hiyo aliitoa wakati wa Kikao cha Baraza la Madiwani kinachohitimisha kipindi cha Robo ya Tatu katika Mwaka wa fedha 2023 / 2024. Kikao hicho kilifanyika Mei 07 na 08, 2024 Mwaka huu katika Ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Wilaya (Angaza).

Mpaka kufikia Aprili 30, Mwaka huu (2024) Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe imeshakusanya Mapato kwa Asilimis 75.5 Mapato hayo yamekusanywa kutoka vyanzo mbalimbali vya Mapato vilivyopo Halmashauri huku ikibakiza Asilimia 24 ya ukusanyaji wa Mapato ili kufikia lengo iliyojiwekea katika Mwaka wa fedha 2023 / 2024.

“Mpaka mwezi March mwaka huu mapato yasiyolindwa yamekusanywa kwa asilimia 73.4 huku mapato lindwa yamekusanywa kwa asilimia 75.05” Alisema Mhe: Mashanda ambaye ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe wakati wa Kikao cha Baraza la Madiwani. Mhe. Mashanda alisisitiza kuwa kuongezeka kwa mapato katika Halmashauri kutasaidia Halmashauri kuwa na fedha za kutosha zitakazosaidia katika utekelezaji wa Miradi ya Mendeleo.

Pia Mh: Mashanda Ameongeza kwa kuwataka watendaji kuhakikisha wanasimamia vizuri na kuwaeleza wananchi fedha zinazoletwa katika ngazi ya kata kutoka serikali kuu na Halmashauri ili wananchi kutambua shughuli zinazoendelea kutekelezwa katika maeneo yao

Kwa upande wake Mkuu wa wilaya ya Karagwe Mkoani Kagera Mhe: Julius Kalanga Laiser wakati akitoa taarifa ya serikali amewataka viongozi kusimamia mapato ya halmashauri ikiwa ni pamoja na kusimamia zao la kahawa pamoja na kuzuia suala la uvunaji wa kahawa mbichi “kwa yeyote atakaye kamatwa anavuna Kahawa Mbichi na Kwa Magendo Kahawa yake tutaitaifisha na siyo kutozwa faini tena ili kukomesha masuala haya ya utoroshwaji wa Mapato ya Serikali”

Aidha Halmashauri ya wilaya ya Karagwe kwa kushirikiana na wadau was mazingira imetembulisha mradi wa Hifadhi Mazingira Karagwe (Greening Karagwe Project) utakaogharimu zaidi ya shilingi bill 6.067 ambao utatekelezwa kwa kipindi Cha mwaka 2024/2025 na kukamilika 2028 Hadi 2029.

Akitambulisha mradi huo kupitia kikao Cha Baraza la madiwani Cha robo ya tatu ya mwaka 2023/2024, Afisa Maliasili Na mazingira Ndg: Rajab Khasimu amesema kwa kushirikiana na wadau wa mazingira utasaidia kutatua kero za uharibufu wa mazingira

 Khasim amesema wanatarajia mradi huo utatekelezwa kuanzia shule za msingi 125, sekondari 36, vituo vya afya 50, wananchi 71,000 pamoja na maeneo mengine ya wazi na mji wa Kayanga

Wakichangia Mara baada ya wasilisho la utekelezaji wa mradi huo, Diwani wa kata ya Rugu Adrian Kobushoke, Zidina Murishidi kata ya Kituntu na Diwani wa kata ya Nyakabanga Jastine Ntikaligaile wamewapongeza wadau kukubali kuungana kwa pamoja na kupendekeza kuruhusu wadau wengine wa mazingira kuendelea kujitokea ili kuungana kwa pamoja katika kukabiliana na uharibu wa mazingira ambayo umefanyika kwa kiwango kikubwa Kwa shughuli mbalimbali ikiwemo kilimo na ufugaji

Akitaja maazimio ya Pamoja Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe Mhe: Wallace mashanda amesema wanapaswa kuzingatia usimamizi mzuri wa sheria za misitu na vyanzo vya maji, kubainisha maeneo katika ngazi ya kata, vijiji ili kupanda miti, pamoja na kuhakikisha Kila shule ya Msingi na Sekondari kuwepo kwa vitalu vya miti na klabu za Mazingira.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMI 10 October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI KADA YA DEREVA II NA WAANDISHI WAENDESHA OFISI II September 30, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WASAIDIZI KUMBUKUMBU DARAJA LA II NA MTENDAJI WA KIJIJI WA III October 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI February 21, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAKETI KUJADILI UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE, KIPINDI CHA ROBO YA TATU 2024/2025.

    April 22, 2025
  • KUELEKEA MSIMU WA KAHAWA 2025/2026: MAAFISA UGANI KARAGWE DC WAPEWA MAFUNZO ILI KUWASAIDIA WANANCHI KUONGEZA THAMANI YA ZAO HILO.

    April 11, 2025
  • WALENGWA WA TASAF KARAGWE DC WANUFAIKA NA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA KIFEDHA WALIZOANZISHA.

    March 17, 2025
  • DC LAIZER AWATAKA WANAWAKE WA KARAGWE KUJIIMARISHA KIUCHUMI.

    March 08, 2025
  • Angalia zote

Video

SHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 KARAGWE TUMEJIPANGA
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 028-2227148

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.