• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

United Republic of Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

‘Bashunga Karagwe Cup’ yaanza kwa kishindo.

Imewekwa: July 4th, 2021

Na Innocent E. Mwalo.

Mashindano ya mpira wa miguu maarufu kama ‘’Ligi ya Bashungwa’’ ambayo hufanyika kila mwaka wilayani hapa kwa udhamini wa mbunge wa jimbo la Karagwe ambaye pia ni Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Mh. Innocent Lugha Bashungwa, Julai 4, 2021, yameanza kurindima katika uwanja wa Bashungwa uliopo mjini Kayanga.

Mechi ya ufunguzi iliyochezwa katika siku ya kwanza ya mashindano haya ilikuwa ni baina ya timu za kata ya Nyakahanga na Kamagambo, ambapo timu ya Kamagambo iliibuka mshindi kwa goli moja, dhidi ya timu ya Nyakahanga, bao lililofungwa dakika ya 28 ya kipindi cha kwanza cha mchezo na mchezaji wa timu hiyo ya Kamagambo ajulikanae kwa majina ya Jovinus Ludovick.

Mgeni rasmi katika ufunguzi wa mashindano haya alikuwa ni Mkuu wa Wilaya ya Karagwe, Mh. Juliet Binyura ambaye aliambatana na kamati ya ulinzi ya wilaya huku wageni wengine wakiwa ni mwenyekiti wa Halmsaharui ya Wilaya Mh. Wallace Mshanda pamoja na baadhi ya madiwani kutoka katika kata mbalimbali za wilaya Karagwe.

Mh. Binyura licha ya kupongeza mafanikio ambayo timu ya Kamagambo waliyapata katika mchezo huu wa siku, pia alitumia wasaa huo kuzitaka timu zote zitakazoshiriki katika mashindano hayo kudumisha nidhamu na upendo wakati wote wa mashindano hayo.

‘’Naomba kusisitiza kwamba licha ya ushindani mnaotakiwa kuuonesha lakini ni lazima mjue dhumuni jingine la michezo ni kuwakutanisha kwa ajili ya kujenga urafiki na udugu miongoni mwao’’, alisema Binyura.

Mashindano haya yanayozishirikisha timu kutoka katika kata zote 23 za wilaya ya Karagwe, yanatarajiwa kudumu kwa takribani miezi miwili ambapo mshindi katika katika mashindano haya anatarajiwa kukabidhiwa zawadi na tuzo na Mh. Bashungwa mapema mwezi Septemba mwaka huu.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMI 10 October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI KADA YA DEREVA II NA WAANDISHI WAENDESHA OFISI II September 30, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WASAIDIZI KUMBUKUMBU DARAJA LA II NA MTENDAJI WA KIJIJI WA III October 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI February 21, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAKETI KUJADILI UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE, KIPINDI CHA ROBO YA TATU 2024/2025.

    April 22, 2025
  • KUELEKEA MSIMU WA KAHAWA 2025/2026: MAAFISA UGANI KARAGWE DC WAPEWA MAFUNZO ILI KUWASAIDIA WANANCHI KUONGEZA THAMANI YA ZAO HILO.

    April 11, 2025
  • WALENGWA WA TASAF KARAGWE DC WANUFAIKA NA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA KIFEDHA WALIZOANZISHA.

    March 17, 2025
  • DC LAIZER AWATAKA WANAWAKE WA KARAGWE KUJIIMARISHA KIUCHUMI.

    March 08, 2025
  • Angalia zote

Video

SHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 KARAGWE TUMEJIPANGA
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 028-2227148

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.