• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

United Republic of Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI KARAGWE DC LARIDHIA BAJETI YA SHILINGI BILLIONI 53.8 KUTUMIKA KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

Imewekwa: January 28th, 2025

BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI KARAGWE DC LARIDHIA BAJETI YA SHILINGI BILLIONI 53.8 KUTUMIKA KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

Baraza la Waheshimiwa Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe limepitisha mpango wa bajeti wa shilingi Billioni 53.8 kutumika kwenye Halmashauri  kwa mwaka fedha 2025/2026. Bajeti hii imepitishwa baada ya kujadili  mapendekezo na vipaumbele vilivyowasilishwa kulingana na makadirio ya mapato ya ndani pamoja na vyanzo vingine ikiwemo ruzuku kutoka Serikali kuu.

Akifungua baraza hilo, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe Mhe.Wallace Mashanda amesema kuwa sehemu ya bajeti iliyopitishwa kwa mwaka 2025/2026 imelenga kuongeza vyanzo vya mapato kwa Halmashauri ili mapato hayo yatumike kufanikisha miradi mbalimbali yenye tija kwenye jamii.

Aidha, Mkuu wa Wilaya ya Karagwe Mhe.Julius Kalanga Laizer amewataka wajumbe wa baraza hilo kusimamia miradi iliyowasilishwa kwenye  bajeti ili iweze kutoa huduma kwa Wananchi wa Karagwe pamoja na kuiongezea Halmashauri mapato. Pia amesisitiza bajeti hiyo iliyopitishwa itoe kipaumbele kwa miradi viporo kwa kijamii kama vile maabara za shule na vituo vya Afya ili huduma zianze kutolewa.

Kwa upande wake, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe  Bi.Happiness Msanga amesema kuwa bajeti iliyowasilishwa imefuata muongozo wa vipaumbele ulitolewa na Serikali kwa mwaka 2025/2026 ikiwemo kuzitaka Halmashauri zote kutenga bajeti kwa kuzigatia ujenzi wa miundombinu wezeshi na kuimarisha matumizi ya Tehama, kupima maeneo ya Serikali na Taasisi za umma, Kumalizia miradi viporo na iliyoanzishwa na Wananchi, Kutoa mikopo ya asilimia 10 kwa makundi maalum, kulipa fidia pamoja na kuanzisha miradi ya kimkakati ya kuiongezea Halmashauri mapato na kunufaisha Wananchi.

Akiwasilisha mchanganuo wa bajeti ya kiasi cha shillingi billioni 53.8 kwa niaba ya Mkurugenzi, Afisa Mipango Bw. Cyliacus Felician amesema kuwa fedha hizo zitatumika kuendeleza miradi ya kuongezea mapato Halmashauri ikiwemo ujenzi wa shule ya mtaala wa kingereza, ujezi wa kituo cha afya, kufanya tamthimini ya miradi mikakati, Kupima na kurathimisha ardhi kwenye mji pamoja na ujenzi wa shule ya sekondari bashungwa na maabara katika baadhi ya shule za sekondari wilayani  humo.

Hatahivyo, kupitia baraza hilo la Madiwani la kujadili na kupitisha bajeti Mkurugenzi Mtendaji Bi.Happiness alitoa taadhari ya Ugonjwa wa Marburg ambao umethibitishwa kuwepo mkoa wa kagera (Biharamulo) ambapo aliwasihi wajumbe kuendelea kuchukua taadhari na kuwapa elimu wananchi ili kuepukana na maambukizi ya ugonjwa huo japokuwa Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe haina mgonjwa mwenye maambukizi ya ugonjwa huo.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMI 10 October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI KADA YA DEREVA II NA WAANDISHI WAENDESHA OFISI II September 30, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WASAIDIZI KUMBUKUMBU DARAJA LA II NA MTENDAJI WA KIJIJI WA III October 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI February 21, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAKETI KUJADILI UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE, KIPINDI CHA ROBO YA TATU 2024/2025.

    April 22, 2025
  • KUELEKEA MSIMU WA KAHAWA 2025/2026: MAAFISA UGANI KARAGWE DC WAPEWA MAFUNZO ILI KUWASAIDIA WANANCHI KUONGEZA THAMANI YA ZAO HILO.

    April 11, 2025
  • WALENGWA WA TASAF KARAGWE DC WANUFAIKA NA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA KIFEDHA WALIZOANZISHA.

    March 17, 2025
  • DC LAIZER AWATAKA WANAWAKE WA KARAGWE KUJIIMARISHA KIUCHUMI.

    March 08, 2025
  • Angalia zote

Video

SHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 KARAGWE TUMEJIPANGA
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 028-2227148

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.