• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

United Republic of Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

BARAZA LA MADIWANI WILAYANI KARAGWE LAPITISHA BAJETI YA SHILINGI 45,229,359,445.00 KWA MWAKA WA FEDHA 2021/2022.

Imewekwa: March 10th, 2021

Na Innocent E. Mwalo.

Baraza la Madiwani katika Halmashauri ya Wilaya Karagwe, mnamo Machi 10, 2021 kwa kauli moja limepitisha kiasi cha shilingi 45,229,359,445.00 ikiwa ni bajeti ya mapato na matumizi kwa mwaka wa fedha 2021/2022.

Kabla ya kupitishwa kwa bajeti hiyo, waheshimiwa madiwani walipata wasaa wa takribani siku mbili wa kujadili vyanzo mbalimbali vya mapato na matumizi hayo ya Halmashauri ya wilaya ambapo taarifa mbalimbali zilizowasilishwa na kujadiliwa katika baraza hilo zilionesha na kuchanganua ya kuwa kati ya kiasi hicho cha shilingi 45,229,359,445.00 kitahusisha ruzuku za matumizi ya kawaida (OC) kiasi cha shilingi 1,025,855,000, mishahara kiasi cha 26, 962, 644,860, ruzuku za miradi ya maendeleo 9, 439, 598,325 na mapato ya ndani yatakuwa ni shilingi 2,671,904,000.

Kwa upande mwingine, taarifa na majadiliano zilionesha ya kuwa Halmashauri ya wilaya inatajia kupata na kutumia kiasi 230,000,000 ikiwa ni jitihada jamii huku kiasi kingine cha shilingi 4,563,433,923 kikiwa ni mchango wa mashirika yasiyo ya kiserikali.

Pamoja na baadhi ya madiwani kuridhishwa na bajeti hiyo, (hii ni kupitia maoni mbalimbali waliyoyatoa kwenye mjadala huo), baadhi madiwani akiwemo Magnus Cheusi ambae ni diwani anayetoka katika kata ya Kibondo waliomba ufafanuzi wa kwanini baadhi ya zahanati zinawatoza akina mama wajaziwazito kiasi cha shilingi laki tatu wakati wa kujifungua ambapo majibu ya menejimenti ya Halmashauri ya wilaya kupitia kwa mganga mkuu wa wilaya Dkt. Ramadhani Hussein alibainisha kuwa sera ya afya haijabadilika na hivyo alitoa rai kwa wafawidhi wa zahanati na vituo vya afya kuacha mara moja tabia ya kuwatoza wanawake wajawazito wanapo hitaji huduma.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMI 10 October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI KADA YA DEREVA II NA WAANDISHI WAENDESHA OFISI II September 30, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WASAIDIZI KUMBUKUMBU DARAJA LA II NA MTENDAJI WA KIJIJI WA III October 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI February 21, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAKETI KUJADILI UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE, KIPINDI CHA ROBO YA TATU 2024/2025.

    April 22, 2025
  • KUELEKEA MSIMU WA KAHAWA 2025/2026: MAAFISA UGANI KARAGWE DC WAPEWA MAFUNZO ILI KUWASAIDIA WANANCHI KUONGEZA THAMANI YA ZAO HILO.

    April 11, 2025
  • WALENGWA WA TASAF KARAGWE DC WANUFAIKA NA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA KIFEDHA WALIZOANZISHA.

    March 17, 2025
  • DC LAIZER AWATAKA WANAWAKE WA KARAGWE KUJIIMARISHA KIUCHUMI.

    March 08, 2025
  • Angalia zote

Video

SHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 KARAGWE TUMEJIPANGA
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 028-2227148

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.