• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

United Republic of Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

BARAZA LA MADIWANI NA WAKUU WA IDARA WA TARIME DC WAFANYA ZIARA YA MAFUZO YA ZAO LA KAHAWA KARAGWE DC

Imewekwa: December 16th, 2024

BARAZA LA MADIWANI NA WAKUU WA IDARA WA TARIME DC WAFANYA ZIARA YA MAFUZO YA ZAO LA KAHAWA KARAGWE DC

 Baraza la Waheshimiwa Madiwani likiongozwa na Mbunge wa Tarime Mhe. Mwita Waitara, Mkurugenzi Mtendaji, na Wakuu wa Idara wa Halmashauri ya Wilaya ya Tarime wamefanya ziara ya  mafunzo ya Siku moja ya zao la Kahawa katika Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe kwa lengo la kujifuza namna ya kuongeza thamani kwa zao la kahawa kuanzia linapoanza kupandwa mpaka linapofikishwa sokoni kwa ajili ya mnada.

Ziara hiyo iliyofanyika Tarehe 16/12/2024 iliongozwa Mkurugezi Mtendaji wa Halmshauri ya Wilaya ya Tarime Ndg. Solomon Shati ulipokelewa na Kaimu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe ambaye ni Diwani wa Kata ya Kiruruma Mhe. Evalista Tinkamanyile Sylivesta pamoja na Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe Bi. Beatrice Laurent.

 Aidha, ziara hiyo ilianza kwa mafunzo ya nadharia na uwasilishwaji wa taarifa kuhusu zao la kahawa katika Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe yaliyofanyika katika Ukumbi wa Angaza Wilayani humo ambapo maswali mbalimbali yaliulizwa na kupewa majibu   pia kulifanyika majadiliano na kubadilishana ujuzi katika kuongeza uthamani wa zao la kahawa na uzalishaji wa tija.

Pia, Ziara hiyo ilihusisha mafunzo ya vitendo ambapo msafara huo ulipata nafasi ya kutembelea kitalu cha miche ya mibuni (kahawa), Shamba la kahawa lilipo eneo la Kihanga pamoja na kiwanda cha kusindika kahawa (KDCU). Vituo vyote walivyopita walipatiwa mafunzo ya vitendo yaliyoongozwa na Kaimu Afisa kilimo wa Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe Ndg. Dominick Yustadi.

Akizungumza baada ya ziara hiyo, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Tarime Mhe. Simon Kiles Samuel ameushukuru Uongozi wa Wilaya ya Karagwe kwa mapokezi waliyopata na mafunzo waliyopewa ambayo ndio msingi wa ziara yao. Aliongeza kuwa, kupitia mafunzo hayo wataweza kuzalisha na kuongeza thamani ya zao la kahawa kwenye Halmashauri yao.

“Mafunzo tuliyopata hapa tutayatumia vizuri katika kuongeza thamani ya zao la kahawa kwenye Wilaya yetu, tulichagua kuja hapa kwa sababu tuliamini tunaweza kujifunza vingi kutoka kwenu. Tunatamani siku moja na nyie mfanye ziara kwetu tunahakika hamtatoka bure sisi ni marafiki tudumishe urafiki wetu” alisema Mhe.Simon.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMI 10 October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI KADA YA DEREVA II NA WAANDISHI WAENDESHA OFISI II September 30, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WASAIDIZI KUMBUKUMBU DARAJA LA II NA MTENDAJI WA KIJIJI WA III October 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI February 21, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAKETI KUJADILI UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE, KIPINDI CHA ROBO YA TATU 2024/2025.

    April 22, 2025
  • KUELEKEA MSIMU WA KAHAWA 2025/2026: MAAFISA UGANI KARAGWE DC WAPEWA MAFUNZO ILI KUWASAIDIA WANANCHI KUONGEZA THAMANI YA ZAO HILO.

    April 11, 2025
  • WALENGWA WA TASAF KARAGWE DC WANUFAIKA NA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA KIFEDHA WALIZOANZISHA.

    March 17, 2025
  • DC LAIZER AWATAKA WANAWAKE WA KARAGWE KUJIIMARISHA KIUCHUMI.

    March 08, 2025
  • Angalia zote

Video

SHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 KARAGWE TUMEJIPANGA
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 028-2227148

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.