• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

Timu ya Mkoa Yafanya Ukaguzi wa Miradi ya Mwenge wa Uhuru Mwaka 2018 Wilayani Karagwe.

Imewekwa: February 10th, 2018

Timu ya Mkoa Yafanya Ukaguzi wa Miradi ya Mwenge  wa Uhuru Mwaka 2018 Wilayani Hapa.

Na Innocent E. Mwalo, KARAGWE.

Timu ya watu watano (05) kutoka katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kagera imefika wilayani hapa na kukagua miradi inayotarajiwa kuzinduliwa na mbio za mwenge wa Uhuru unaotarajiwa kuwepo wilayani hapa mnamo Aprili 13, 2018.

Ujumbe huo ulioongozwa na ndugu Ernest Matala ambaye alikuwa emeambatana na ndugu Geneveva Emmanuel, ndugu Projestus Kato, ndugu Mmayya Mbaraka na ndugu Twalib Ramadhani ambao ni wajumbe wa Kamati ndogo ya mwenge wa mkoa ambapo ujumbe huo uliambatana na Timu ya wilaya iliyokuwa ikiongozwa na Kaimu Katibu Tawala wa Wilaya Mh. Nyangele Makunenge aliyekuwa ameambatana na wajumbe wengine wa Kamati ya Mwenge ya Wilaya ambao ni  ndugu Romanus Msafiri, ndugu Peter Mmbare, ndugu  Mmasa Mmasa na  ndugu Aloyce Mujungu.

Timu hii ilifanya ukaguzi wa miradi yote pendekezwa kwa ajili ya mbio za mwenge wa Uhuru 2018 ambayo ni Klabu ya Wapinga Rushwa iliyopo shule ya Sekondari ya Rwambaizi, ujenzi wa vyumba vya madarasa vitatu (03) na ofisi moja ya walimu, vyoo na matundu 11 na kisima cha maji katika shule ya Msingi Omurwere Rwambaizi.

Miradi mingine ni shamba la migomba la ndugu Mtawajibu Kajoki, kiwanda cha kusaga na kusindika unga wa mahindi cha Karim Amri, barabara za lami mjini Kayanga, wodi za kituo cha afya Kayanga na kikundi cha wanawake NDAWOSA.

Miradi mingine ambayo ujumbe huo ulizuru ilikuwa ni mabanda ya UKIMWI, Malaria, kupinga rushwa na madawa ya kulevya ambayo kwa ujumla inatajwa kuwa miradi ya kiasi 6,573,400,000.00 kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mratibu wa Mwenge Wilayani hapa ndugu Mmasa Mmasa.

“Tumetembelea miradi hii na tunapongeza maandalizi yaliyokwisha kufanyika mpaka sasa lakini tunatoa wito wa kufanya marekebisho kadhaa ikiwemo kufyekwa kwa barabara ya Rwambaizi – Omurwere na kufikiria kitu cha tofauti kwenye miradi ya Klabu ya wapinga rushwa na kwa upande wa wodi

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA 2022 December 01, 2022
  • WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA SEKONDARI 2023 December 14, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 09, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI February 21, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • ZAWADI

    September 26, 2022
  • WAJERUMANI WASAINI KITABU KWA DED

    September 26, 2022
  • KARAGWE YAPOKEA WAJERUMANI

    September 25, 2022
  • KAMATI YA FEDHA MAFUNZONI

    September 16, 2022
  • Angalia zote

Video

BARAZA LA MADIWANI LAWASIMAMISHA WATUMISHI
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 0754653409

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.