• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

NEEMA YAWASHUKIA VIJANA, WANAWAKE NA VIJANA

Imewekwa: September 21st, 2018

NEEMA YAWASHUKIA VIJANA, WANAWAKE NA WATU WENYE ULEMAVU.

Na Innocent E. Mwalo, KARAGWE.

Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe kwa mara nyingine tena imeendelea kutekeleza kwa vitendo agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Dkt. John Pombe Magufuli la kutoa mikopo kwa makundi ya wanawake vijana na watu wenye ulemavu.

Katika hatua hiyo ya hivi karibuni, Mkuu wa Wilaya ya Karagwe, Mh. Gogfrey Mheluka kwa kushirikiana na uongozi wa Halmashauri ya Wilaya, chini ya Mwenyekiti wake, Mh. Wallace Mashanda, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ndugu Godwin Kitonka pamoja na Wajumbe wa Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango na Timu ya Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya walishiriki zoezi la ugawaji wa hicho cha shilingi milioni 79 kwa makundi hayo matatu ambapo jumla ya vikundi 27 viligawiwa kiasi hicho cha fedha.

Katika hafla hiyo, Mkuu wa Mgeni rasmi, Mh. Mheluka pamoja na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya Mh. Mashanda walitumia muda mwingi kulieleimisha kundi la vijana ambapo uzoefu unaonesha kuwa limekosa uaminifu katika urejeshaji wa mikopo jambo ambalo mgeni rasmi alilibainisha kwamba limekuwa likikwaza juhudu za utoaji wa mikopo kwa vikundi vingine kwani fedha hizo zinapaswa kutolewa kwa mzunguko.

“Napenda kutumia zoezi hili kuwaagiza mambo mawili; mosi ikiwa ni kuhakikisha fedha hizi zinatumika kwa malengo yaliyokusudiwa na pili kuhakikisha fedha hizo zinarejeshwa kwa wakati”, alisisitiza Mh. Mheluka.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti viongozi wa makundi hiyo ambayo ni Basiliba Kashaya ambaye aliwakislisha kundi la walemavu, Alison Hamphrey kiongozi wa kundi la vijana na Demetria Saulo walimpongeza Mh. Rais Dkt. Magufuli kwa agizo lake hali kadhalika uongozi wa Halmashauri ya Wilaya Karagwe kwa kutekeleza kwa vitendo agizo la Mh. Rais.

Itakumbukwa kwamba mapema alipoingia madarakani Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli aliagiza kila Halmashauri kutenga asilimia 10 ya mapato yake ya ndani kwa mwezi na kuyagawa kwa uwiano wa asilimia 4 kwa wenye vijana, asilimia 4 kwa wanawake na asilimia 2 kwa vijana.

 

 

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA 2022 December 01, 2022
  • WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA SEKONDARI 2023 December 14, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 09, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI February 21, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • ZAWADI

    September 26, 2022
  • WAJERUMANI WASAINI KITABU KWA DED

    September 26, 2022
  • KARAGWE YAPOKEA WAJERUMANI

    September 25, 2022
  • KAMATI YA FEDHA MAFUNZONI

    September 16, 2022
  • Angalia zote

Video

BARAZA LA MADIWANI LAWASIMAMISHA WATUMISHI
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 0754653409

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.