• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

MADARASA MADAWATI…CHANGAMOTO KARAGWE

Imewekwa: December 14th, 2018

Na Frank I. Ruhinda

Madiwani wakishirikiana na timu ya wataalamu kila mtu kwa nafasi yake kwa kauli moja wameazimia kuhakikisha wanapokea kiasi cha wanafunzi elfu moja mia saba na ishirini wa kidato cha kwanza mwezi januari bila kukosa hata mmoja.

      Wameagiza Wah Madiwani waitishe vikao vya WDC vya dharula kila diwani kwenye kata yake, ili kubaini idadi ya wanafunzi watakao ingia kidato cha kwanza, mapungufu ya vyumba vya madarasa na madawati yanayohitajika ili viendane.

      Azimio hilo, lilitolewa kwenye kikao cha baraza la madiwani cha dharula, baada ya Mh mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe Wallace Mashanda kuombwa kufungua kikao hicho, ambacho kilikuwa  na agenda moja ya kutenga mipaka ya mji mdogo wa Kayanga Wilayani Karagwe.

      “Wah Madiwani kabla ya kufungua kikao hiki naomba niseme kuwa, mwezi januari tunakusudia kupokea wanafunzi wa kidato cha kwanza, wapatao 1720, lakini kwa mazingira ninayoona sioni kama tutaweza kwani vyumba vya madarasa havitoshi na shule nyingine hazina madawati hadi kufikia wanafunzi kukaa chini”  alisema.

      Aidha azimio hilo, liliwataka Wah Madiwani wote waitishe vikao vya WDC kwenye kata zao, wakishirikiana na watendaji wa kata, wakuu wa shule na watendaji wengine, ili kuhakikisha wanakamilisha vyumba vya madarasa na kutengeneza madawati ya kutosha kulingana na idadi ya wanafunzi wanaohitajika katika shule husika.

       “Hivi jamani hatuwezi kuona aibu, kwani ni juzi tulikuwa tunafanya shughuli za wiki ya elimu katika shule st peter clavery, iliyokuwa ya kwanza kitaifa katika matokeo ya darasa la saba ya mwaka jana, lakini mwaka huu imekuwa ya kumi na mbili na hatujui mwaka ujao, pia Wilaya yetu ikiwa ya mwisho kimkoa”  alisema.

        Baada ya azimio hilo, mwenyekiti alifungua kikao na kujadili agenda yao ya kutenga mipaka ya mji mdogo wa Kayanga, na kukubaliana kuongezewa maeneo kwa baadhi ya kata mfano Kayanga na Bugene ile hali kata nyingine kupunguziwa maeneo kama vile Ndama na Nyakahanga.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA 2022 December 01, 2022
  • WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA SEKONDARI 2023 December 14, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI May 19, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 09, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Ujenzi shule 'Kagera river' unaendelea vizuri.

    April 12, 2023
  • Ujenzi shule 'Kagera river' unaendelea vizuri.

    April 12, 2023
  • Hospitali ya wilaya ya Karagwe kuzalisha gesi

    April 12, 2023
  • Hospitali ya wilaya ya Karagwe kuzalisha gesi

    April 12, 2023
  • Angalia zote

Video

BARAZA LA MADIWANI LAWASIMAMISHA WATUMISHI
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 028-2227148

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.