• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

Idara ya Zima Moto Wilayani Karagwe Yawezeshwa.

Imewekwa: October 12th, 2017

Idara ya Zima Moto Wilayani Karagwe  yawezeshwa

Na, Geofrey A.Kazaula – Karagwe 

Kikosi cha zimamoto Wilayani Karagwe kimeongezewa nguvu baada ya kupata msaada wa vifaa mbalimbali vyenye thamani ya takribani Millioni 30 za kitanzania.

Kwa mujibu wa Mkuu wa jeshi  la zimamoto  Wilayani Karagwe  Sgt  Peter Mmbare  vifaa hivyo vimetolewa na  wafadhili kutoka nchini Ujerumani kwa kushirikiana na  Idara ya zimamoto ya jimbo la Kolon nchini humo.

Akitoa ufafanuzi juu ya msaada  uliotolewa Sgt Peter  ameeleza kuwa vifaa hivyo ni pamoja na  Safety Belt, Fire Suit,   Fedha  tasilimu ambazo ni Euro  200 pamoja na Safety but  kama mavazi maalum kipindi cha kuzima moto.

Aidha ameongeza kuwa wafadhili hao wame ahidi kuendelea kukisaidia kikosi cha zimamoto Wilayani Karagwe  na kwamba kwa sasa wako kwenye mpango wa kununua gari kubwa kwaajili ya shughuliza zimamoto ambalo  pia litakabidhiwa .

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Karagwe  ndg, Godfrey Mheluka  alipongeza jitihada zilizofanywa na wafadhili hao kwa kukisaidia kikosi cha zimamoto na kusisitiza kuwa vifaa hivyo vitumike katika kukabiliana na majanga ya moto.

Makabidhiano hayo ya vifaa yaliyofanyika katika ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Karagwe yalihudhuriwa pia na viongozi mbalimbali  zikiwemo taasisi binafsi  , wah Madiwani, Mwenyekiti wa Halmashauri, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Bi Ashura Kajuna, Katibu tawala na viongozi wengine ambao pia ni wajumbe wa kamati ya Ulinzi na Usalama.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI 12 SEPTEMBA,2023 September 12, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 09, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI February 21, 2022
  • TANGAZO KWA WANANCHI WOTE 01 March 14, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Ujenzi shule 'Kagera river' unaendelea vizuri.

    April 12, 2023
  • Ujenzi shule 'Kagera river' unaendelea vizuri.

    April 12, 2023
  • Hospitali ya wilaya ya Karagwe kuzalisha gesi

    April 12, 2023
  • Hospitali ya wilaya ya Karagwe kuzalisha gesi

    April 12, 2023
  • Angalia zote

Video

BARAZA LA MADIWANI LAWASIMAMISHA WATUMISHI
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 028-2227148

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.