• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

HALMASHAURI YASHAURIWA KUTOZA USHURU MIKAA

Imewekwa: January 2nd, 2019

Na Frank I.Ruhinda

Imeshauriwa kuwa halmashauri ya wilaya ya Karagwe iandae utaratibu wa kuwatoza ushuru wauza mkaa badala ya kuwaachia watendaji wa kata na vijiji ambao hawana jinsi wala sheria ndogo ya kuwalinda wakati wakiwa katika zoezi hilo.

         Uhauri huo umetolewa na Mh diwani wa kata ya Nyakahanga Chalse Bechumila akiwa katika ziara ya ukaguzi wa miradi katika kata za Kayanga, Nyakahanga, Ndama, Kituntu, Rugera na Kihanga ambapo ziara hiyo imekutana na wauza mkaa wakizurura mitaani kwa wingi.

         Mh Bechumila amesema sheria inawataka wauza mkaa kulipia ushuru kiasi cha shilingi elfu kumi na mbili, lakini kwa mazingira ya kwetu ata ukiwatoza kiasi cha shilingi elfu tatu tu zinatosha kulingana na bei iliyoko sokoni na hali ya upatikanaji wa bidhaa hiyo.

           “Inasikitisha kuona watu wetu wanakata miti kwenye mapoli yetu ya asili na baada ya kukata miti hiyo wala hawajikumbushi kupanda miti mingine huku wakishafikisha biashara yao sokoni bei wanajipangia wao wenyewe na halmashauri ambayo ndio mmiriki wa ardhi na misitu haipati chochote kutokana na ushuru wa biashara hiyo” alisema.

              Nivyema kama halmashauri ingeandaa utaratibu wa kuwa na sheria ndogo ambayo itawapa watendaji wa kata na vijiji nguvu za kusimamia zoezi hilo aidha kwakutumia mgambo au laah wauzaji wenyewe kuja  kulipia ofisini bila kuanza kukimbizana mtaani.

               Mh. Bechumila amesema wakiamua kuwatoza elfu kumi na mbili kama inavyawataka sheria mama, wafanya biashara hao wataishia kuwakimbia wasimamizi wa sheria bila tija yoyote na ata wengine watashindwa kufanya biashara hiyo na kuwaachisha ajira yao.

               Amesema hiki ni chanzo cha mapato kizuri kwa halmashauri na pia ni ajira kwa vijana wetu walioko mtaani ambao hawana ajira, japo inastahili wapewe kaufahamu kidogo kwa wale wakataji miti ili baada ya zoezi la ukataji basi wapande miti  mingine siyokuacha vipara ambavyo matokeo yake ni jangwa.

               Kwenye maeneo ya mji mdogo wa Kayanga, Omurushaka na Nyakahanga, gunia kubwa la mkaa linauzwa kufikia elfu kumi na saba na kumi na sita, kwenye maeneo mengine yenye vistesheni bei inapungua hadi kufikia elfu kumi na nne.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA 2022 December 01, 2022
  • WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA SEKONDARI 2023 December 14, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI May 19, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 09, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Ujenzi shule 'Kagera river' unaendelea vizuri.

    April 12, 2023
  • Ujenzi shule 'Kagera river' unaendelea vizuri.

    April 12, 2023
  • Hospitali ya wilaya ya Karagwe kuzalisha gesi

    April 12, 2023
  • Hospitali ya wilaya ya Karagwe kuzalisha gesi

    April 12, 2023
  • Angalia zote

Video

BARAZA LA MADIWANI LAWASIMAMISHA WATUMISHI
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 028-2227148

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.