• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

DR. BASHIRU APOKELEWA KWA KISHINDO KARAGWE

Imewekwa: December 28th, 2018

Na, Geofrey A. Kazaula 

Katibu Mkuu wa CCM Taifa Dr Bashiru Ally amepokelewa kwa kishindo katika Wilaya ya Karagwe ambapo pia mapokezi hayo yalihusisha Halmashauri ya Wilaya ya Ngara na Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa  ambapo wote walijumuika katika Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe ili kumpokea kiongozi huyo na kupokea maelekezo mbalimbali ya chama na Serikali.

Akiongea na Viongozi wa Chama na Serikali katika Ukumbi wa CCM Karagwe , kiongozi huyo aliwataka watendaji wa chama wote kufanya kazi kwa ufanisi ili kuyafikia matarajio ya CCM.

Alieleza kuwa uataratibu wa kukutana na watendaji wa Halmashauri tatu kwa pamoja ni mzuri licha ya kuwa ni gharama.

‘‘ Utaratibu huu wa kukutanisha Halmashauri tatu kwa wakati mmoja ni utaratibu mpya na ni mzuri licha ya kuwa unagharama lakini hakuna namna’’ alisema kiongozi huyo.

Aidha, aliwakumbusha viongozi juu ya  Masharti ya mwana CCM ambayo ni pamoja na Kuheshimu watu huku akimtolea mfano Mwl Nyerere kuwa aliheshimu watu katika kipindi chake chote.

Ame eleza pia kuwa Masharti mengine ya mwana CCM ni pamoja na kuwa mtu anayefanya juhudi ya kuielewa na kuieleza itikadi ya CCM, kuwa mtu mwenye kuamini kuwa kazi ni kipimo cha utu na kuwa mtu anayependa kushirikiana na wenzake .

Ame sisitiza juu ya kuamini katika ushirika  na kuimarisha ushirika ili kuwainua wakulima kwani bila kufanya hivyo nguvu za wakulima huishia kunyonywa na walio wachache.

‘‘ Nitoe wito kwa wananchi wote kuhakikisha wanasimamia vizuri ushirika na wanajiunga katika ushirika ili kuhakikisha Kilimo kinakuwa na tija kwa wakulima kama yalivyo matarajio ya Serikali’’ alisema kiongozi huyo.

Kwaupande wake  Naibu waziri wa Kilimo , Umwagiliaji na Ushirika  ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Karagwe  Mh, Innocent L. Bashungwa aliwahakikishia  wananchi kuwa Ofisi yake kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kagera wanaendelea kufanya uchambuzi ili kubaini nyongeza halisi anayopaswa kupatiwa Mkulima wa Kahawa baada ya malipo ya awali yaliyokwisha fanyika.

‘‘ Naomba kuwatoa wasiwasi wakulima kuwa suala ya nyongeza katika malipo ya Kahawa yaliyokwisha fanyika awali linaendelea kushughulikiwa na Ofisi yangu kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkoa na nyongeza hiyo italipwa baada ya kufanya uchambuzi na kujiridhisha juu ya kiasi halisi anachopaswa kupokea Mkulima,’’ alieleza kiongozi huyo.

Dr. Bashiru amewataka viongozi wa Chama na Serikali kuyatanguliza maslahi ya Taifa kwanza na kuunga mkono jitihada za Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ikiwa ni sambamba na kuendelea kuitekeleza Ilani ya Chama cha Mapinduzi CCM.

 

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA 2022 December 01, 2022
  • WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA SEKONDARI 2023 December 14, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI May 19, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 09, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Ujenzi shule 'Kagera river' unaendelea vizuri.

    April 12, 2023
  • Ujenzi shule 'Kagera river' unaendelea vizuri.

    April 12, 2023
  • Hospitali ya wilaya ya Karagwe kuzalisha gesi

    April 12, 2023
  • Hospitali ya wilaya ya Karagwe kuzalisha gesi

    April 12, 2023
  • Angalia zote

Video

BARAZA LA MADIWANI LAWASIMAMISHA WATUMISHI
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 028-2227148

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.