• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

United Republic of Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

DC LAIZER ASISITIZA ELIMU ZAIDI ITOLEWE KWA WANANCHI JUU YA BIMA YA AFYA KWA WOTE

Imewekwa: January 6th, 2026

DC LAIZER ASISITIZA ELIMU ZAIDI ITOLEWE KWA WANANCHI JUU YA BIMA YA AFYA KWA WOTE.

Mkuu wa Wilaya ya Karagwe, Mhe. Julius Kalanga Laizer, amewaagiza watendaji wote wa Serikali kuhakikisha wanatoa Elimu zaidi kwa jamii ili suala la bima ya afya kwa wote liwafikie wananchi.

Ameyasema hayo Januari 06, 2026 wakati akifungua kikao cha Kamati ya Afya ya Msingi (PHC) kilichofanyika katika ukumbi wa Halmashauri (Angaza).

Mhe. Laizer ameeleza kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anatarajiwa kuzindua mpango wa bima ya afya kwa wote mwezi Januari.

“Bima ya afya kwa wote iwe agenda ya kudumu katika vikao vyote vitakavyofanyika kuanzia ngazi ya kijiji, Kata na vikao vyetu vya utendaji kwa sababu ni moja ya ahadi ambazo Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan aliahidi kutimiza ndani ya siku 100 baada ya kuapishwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,”

“Ili kuunga mkono juhudi za Serikali, tunatakiwa kuhakikisha elimu juu ya umuhimu wa bima ya afya kwa wote inawafikia wananchi kwa ukaribu,” aliongeza Mhe. Laizer.

Kwa upande wake, Mratibu wa Bima ya Afya Wilaya ya Karagwe Ndg; Desderius Tumaini Buhiye ameeleza kuwa bima ya afya kwa wote itatolewa kwa kaya ikihusisha baba, mama na watoto wanne.

“Serikali imedhamiria kuhakikisha Watanzania wanapata matibabu bila kuumizwa, ndiyo maana imeanzisha bima ya afya kwa wote itakayogharimu shilingi laki moja na nusu (150,000/=) kwa mwaka mzima na bima ya afya itatoa nafasi kwa kaya maskini, Wazee na watu wenye ulemavu. Alisema Ndg; Buhiye

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Karagwe Bi; Happiness Msanga, aliahidi kuendelea kufanya ufuatiliaji ili kuhakikisha elimu juu ya bima ya afya kwa Wote inatolewa na kuwafikia wananchi.

Mganga Mkuu wa Wilaya ya Karagwe Bi; Agness Mwaifuge alieleza juu ya Bima ya Afya kwa Wote kuwa itatolewa kuanzia ngazi ya Zahanati hadi Hospital ya Wilaya kwa huduma za dawa na vifaa tiba 247, Huduma za upasuaji mdogo 27 na Huduma za upasuaji Mkubwa 9 kwa gharama hizo hizo za Bima.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 19, 2025
  • TANGAZO KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE September 02, 2025
  • TANGAZO LA KITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO September 17, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMI 10 October 04, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DC LAIZER ASISITIZA ELIMU ZAIDI ITOLEWE KWA WANANCHI JUU YA BIMA YA AFYA KWA WOTE

    January 06, 2026
  • MADIWANI 32 KARAGWE DC WAIANZA SAFARI YA UTUMISHI KWA WANANCHI (2025 - 2030) RASMI LEO.

    December 02, 2025
  • DC LAIZER AONGOZA KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE KWA NGAZI YA KATA KWA ROBO YA KWANZA JULAI-SEPTEMBA

    November 14, 2025
  • DED MSANGA AKAGUA NA KUTEMBELEA MIRADI MBALIMBALI YA MAENDELEO

    September 29, 2025
  • Angalia zote

Video

ZIARA YA WALIMU KATIKA HIFADHI YA TAIFA NGORONGORO
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 028-2227148

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.