• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

BRIGEDIA GENERALI MARCO E. GAGUTI AWATIA MOYO WANAFUNZI.

Imewekwa: November 19th, 2018

Na , Geofrey A.Kazaula

Mkuu wa Mkoa wa Kagera Brigedia  Generali Marco  E.  Gaguti  amewatia moyo watoto wa Shule ya Msingi Kitengule na kuwataka kutokata tama kwani Serikali ipo kwa ajili yao.

Akiwa Shuleni hapo, katika mwendelezo wa ziara  yake Wilayani Karagwe, Kiongozi  ametumia muda wake kuwasikiliza wanafunzi  na hasa wale wenye mahitaji maalum.

Kiongozi huyo alianza kwa kutaka kujua ndoto za kila mmoja na watoto walieleza kile wanachokiona ni muhimu kwao kwa siku za badae huku wengine wakimwambia juu ya ndoto zao za kuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanza nia kwa siku za usoni.

Mkuu huyo wa Mkoa aliwasikiliza wanafunzi na kisha alianza kuwasihi kusoma kwa bidii na malengo ili waweze kufikia ndoto zao.

‘‘  Tumieni muda wenu kusoma kwa bidii ili mfikie ndoto zenu kwani Serikali ipo kwaajili yenu, mimi kama Mkuu wenu wa Mkoa nimeona nifike kuongea nanyi  ili mkae mkijua kabisa kuwa Serikali hii inawajali na hasa watoto kama nyie wenye mahitaji maalum’’ alisema kiongozi huyo.

Aidha aliwakabidhi mbuzi wawili ili waweze kujipatia kitoweo na kusisitiza kuwa Serikali ina wajali na kamwe wasijisikie upweke.

Kiongozi huyo alisisitiza kuwa Serikali kwa kushirikiana na uongozi wa Shule itahakikisha changamoto zilizopo Shuleni hapo zinapatiwa ufumbuzi  na kuweka mazingira rafiki kwa kwa watoto hao ili waweze kujisomea.

Kwaupande wake Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Kitengule Ndg, Raymond Emanuel alimpongeza Mh, Mkuu wa Mkoa kwa kuamua kuitembelea shule hiyo na hasa kuwatia moyo wanafunzi.

‘‘Nampongeza sana Mkuu wetu wa Mkoa kwa kufika na kuwatia moyo watoto wetu kwani kwa kufanya hivi wanaona kabisa kuwa Serikali iko upande wao’’. alieleza Mwalimu huyo

Ziara ya Siku moja ya  Mkuu wa Mkoa  wa Kagera Brigedia  Generali Marco  E.  Gaguti  Wilayani Karagwe  ilihitimishwa kwa Mkuu huyo wa Mkoa kfanya ukaguzi wa miradi mbalimbali,kufanya mikutano ya hadhara pamoja na kusikiliza na kutatua kero za wananchi.

Matangazo

  • TANGAZO KWA WANANCHI WOTE JUU YA UENDESHAJI WA CHANJO YA NG'OMBE DHIDI YA UGONJWA WA CHAMBAVU NA KIMETA February 13, 2019
  • TANGAZO KWA UMMA JUU YA UCHAGUZI WA KATA YA IHANDA NA CHONYONYO November 05, 2018
  • TANGAZO LA KUPOKELEWA KWA FEDHA ZA "HEALTH BASKET FUND" MWEZI OCTOBA 2018 October 22, 2018
  • TANGAZO LA KUPOKELEWA KWA FEDHA ZA KWA SHUGHULI ZA AFYA "MPANGO WA IMA" MWEZI OCTOBA 2018 October 22, 2018
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UDHIBITI WA UVUVI HARAMU WAENDELEA KARAGWE

    February 12, 2019
  • WANANCHI KARAGWE WAHIMIZWA KUJENGA VYOO

    February 12, 2019
  • UJENZI WA HOSPITALI YA WILAYA KARAGWE WAENDELEA KWA KASI.

    January 29, 2019
  • HALMASHAURI YASHAURIWA KUTOZA USHURU MIKAA

    January 02, 2019
  • Angalia zote

Video

KIONGOZI BORA NI YUPI? | MWL. JK NYERERE
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.