• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania yatambulishwa Wilayani Karagwe

Imewekwa: September 19th, 2017

Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania Yatambulishwa Wilayani Karagwe

Na Innocent E. Mwalo, KARAGWE

Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) Jumanne ya tarehe 19/09/2017 ilipata nafasi ya kutambulishwa Wilayani Karagwe kupitia kikao cha Timu ya Wataalam (CMT) kilikuwa kinafanyika siku hiyo.

Mapema wataalam toka Benki hiyo waliwasili sehemu kilipokuwa kinafanyikia kikao hicho wakiwa wameongozana na Katibu Tawala wa Wilaya hiyo, Mh. Innocent Nsena na kisha wakapata nafasi kutoka kwa Mwenyekiti wa Kikao, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Karagwe, ndugu Godwin M. Kitonka ya kujitambulisha.

Mkuu wa Msafara, Geofrey Mtawa aliwatambulisha wataalam wengine alioambatana nao na kisha kutoa maelezo kuhusu uanziswaji wa Benki hiyo.

Mtawa aliwaeleza wajumbe kwamba Benki ya wakulima ilizinduliwa Agosti 08, 2015 ambapo ilianzishwa kwa madhumuni makubwa mawili ambayo ni kusaidia upatikanaji wa utoshelezi na usalama wa chakula ambao ni endelevu nchini Tanzania na kusaidia kuchagiza Mapinduzi ya Kilimo kutoka kilimo cha kujikimu kwenda kilimo cha kibiashara ili kuchangia kwenye ukuaji wa uchumi na kupunguza umasikini.

Mtawa alikiambia kikao hicho kwamba kwa sasa Benki hiyo inafanya kazi katika kanda nane hapa nchini Tanzania na mkoa wa Kagera utakuwa ni mmoja wa mikoa nane latika Kanda ya Ziwa ambapo ofisi zake zinatarajiwa kujengwa jijini Mwanza ambapo ofisi hizi za kanda zinatajiwa kufanya kazi na mikoa na wilaya na huku kwenye Halmashauri mdau wa kuwaunganishi wakulima akiwa Halmashauri ya wilaya kupitia kwa Idara ya Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika.

Mtawa aligusia baadhi ya malengo ya kimkakati ya Benki hiyo kuwa ni kuinua uzalishaji wenye tija katika sekta ya Kilimo kwa kuendeleza miundombinu muhimu, mathalani skimu za umwagiliaji, usafirishaji, hifadhi ya mazao, usindikaji na masoko.

Lengo jingine ni kuwa Benki kiongozi ya maendeleo ya kilimo pamoja na kuhamasisha mabenki mengine na taasisi nyingine za kifedha kutoa fedha kwenye mnyororo mzima wa Kilimo.

Baada ya utambulisho wa Benki hiyo kikao cha Timu ya Menejimenti kiliendelea huku kikiweka mikakati kadhaa katika suala nzima la ukusanyaji wa mapato ya Halmasahuri.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA 2022 December 01, 2022
  • WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA SEKONDARI 2023 December 14, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI May 19, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 09, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Ujenzi shule 'Kagera river' unaendelea vizuri.

    April 12, 2023
  • Ujenzi shule 'Kagera river' unaendelea vizuri.

    April 12, 2023
  • Hospitali ya wilaya ya Karagwe kuzalisha gesi

    April 12, 2023
  • Hospitali ya wilaya ya Karagwe kuzalisha gesi

    April 12, 2023
  • Angalia zote

Video

BARAZA LA MADIWANI LAWASIMAMISHA WATUMISHI
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 028-2227148

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.