• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

United Republic of Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

‘’TATIZO LA LISHE KUWA HISTORIA WILAYANI KARAGWE’’- KITONKA.

Imewekwa: July 23rd, 2021

Na Innocent E. Mwalo.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe, Godwin Kitonka ametoa maelekezo kwa wataalam wa ngazi za msingi, sekta za Afya, Elimu, Kilimo, Mifumo, Uvuvi na fedha pamoja na Kamati yote ya lishe kuhakikisha yale yanayoazimiwa kwenye vikao na mkataba wa lishe yanatelezwa ambapo Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) alisainiana na Wakuu wa Mikoa na kisha Wakuu wa Mikoa wakasainiana na Wakuu wa Wilaya na Wakuu wa Wilaya wakasainiana na Wakurugenzi Watendaji wa Wilaya.

Mh. Kitonka aliyasema haya kwenye kikao cha Kamati ya Lishe wilaya kwa robo ya nne na ya mwisho kwa mwaka wa fedha 2020/2021 ambapo pamoja na mambo mengine kilipokea taarifa na mikakati mbalimbali ya Idara za serikali pamoja na wadau mbalimbali wa maendeleo katika ajenda ya kupambana na tatizo la utapiamulo ambapo takwimu zinaoonesha kuwa mkoa wa Kagera tatizo la utapiamulo ni kwa zaidi ya asilimia 33.

‘’Baada ya kikao hiki ningependa kuona kamati hii na wadau wote wa lishe katika Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe kuhakikisha kuwa wanatembelea maeneo yenye shida ya lishe ili kutoa elimu katika jamii kwani kwa imani yangu wilaya yetu ya Karagwe haina tatizo kabisa na suala la upatikanaji wa makundi yote ya vyakula yanayotajwa kufanya mlo kamili ila tatizo ninaloliona mimi ni juu ya uelewa wa wananachi wetu katika kula vyakula vyote vya makundi haya iliwemo wanga, protini, vitamin na kadhalika’’, alisisitiza Kitonka.

Maazimio mengine yaliyotolewa katika kikao hicho ilikuwa ni pamoja na wakuu wa shule na walimu wakuu kuhakikisha kuwa wanakuwa na maeneo katika shule zao yanajishughulisha na kilimo ili kuwezesha wanafunzi kupata chakula cha mchana na matunda wawapo shuleni.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMI 10 October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI KADA YA DEREVA II NA WAANDISHI WAENDESHA OFISI II September 30, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WASAIDIZI KUMBUKUMBU DARAJA LA II NA MTENDAJI WA KIJIJI WA III October 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI February 21, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • HATI SAFI ISIWE BANGO LA KUTUPUMZISHA TUJITUME ZAIDI KUIDUMISHA - RC MWASSA.

    June 17, 2025
  • KARAGWE DC YAADHIMISHA SIKU YA MTOTO WA AFRIKA.

    June 16, 2025
  • PPRA YAKAMILISHA MAFUNZO YA SIKU 3 YA MFUMO WA NeST KARAGWE DC.

    June 13, 2025
  • WATUMISHI WAPYA WA KADA MBALIMBALI KARAGWE DC WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI YA UTUMISHI WA UMMA.

    June 11, 2025
  • Angalia zote

Video

SHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 KARAGWE TUMEJIPANGA
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 028-2227148

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.