• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

United Republic of Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

DKT.DUGANGE ABARIKI MRADI WA KUDHIBITI TAKA NGUMU KARAGWE DC, AZINDUA GARI MAALUM KWAAJILI YA KUKUSANYA, KUSAFIRISHA, KUTUNZA NA UTUPAJI SALAMA.

Imewekwa: February 27th, 2026

DKT.DUGANGE ABARIKI MRADI WA KUDHIBITI TAKA NGUMU KARAGWE DC, AZINDUA GARI MAALUM KWAAJILI YA KUKUSANYA, KUSAFIRISHA, KUTUNZA NA UTUPAJI SALAMA.


Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Dkt. Festo John Dugange ameubariki rasmi mradi wa kudhibiti taka ngumu unaotekelezwa na Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe kwa kushirikiana na Manispaa ya fourth nchini Ujerumani kwa kuzindua gari maalum litakalokuwa likikusanya na kusafirisha taka hizo kwa ajili ya utunzaji na utupaji salama.

Akizungumza hapo jana Februari 26, 2026 katika hafla ya uzinduzi huo uliofanyika katika viwanja vya Ofisi ya Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe, Dkt. Dugange ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe kwa kuwa mfano wa kuigwa kwa utunzaji wa Mazingira, huku akitoa wito kwa Mkuu wa Wilaya na Mkurugenzi kuendelea na hatua zinazofuatwa ikiwemo kujenga vizimba kwa ajili ya ukusanyaji taka na kuhakikisha utenganishwaji wa taka unazingatiwa na gari kuanza kufanya kazi.

“Nimekuja kuwashirikisha kuhusiana na fursa za taka, Taka ni Mali leo tunajua Wananchi wananufaika na taka za makopo ya maji ya plastick lakini tunazo taka maarufu ‘Taka oza’ zile zinazopatikana masokoni. Serikali imekuja na mpango mzuri kuhakikisha inajenga mitambo ya kuchakata taka hizi na kuzalisha mbolea asili nzuri. Pia, kunafursa ya biashara ya hewa ya ukaa ‘Kaboni’ Wataalamu wetu wataendelea kutoa Elimu na sisi Wizara ya Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) tumedhamiria kuhakikisha tunanufaika na hili” Alisema Dkt. Dugange.

Aidha, Dkt. Ndugage alipata nafasi ya kutembelea mradi wa vijana (Kiuma) wa uchakataji taka ngumu na uhifadhi wa mazingira, mradi wa maji taka unaotekelezwa na Buwasa pamoja na Mradi wa hewa ya ukaa na shamba la mkahawa linalomilikiwa na Kaderesi lililopo kata ndama Wilayani humo lengo ni kuhimiza utunzaji Mazingira pamoja na uwekezaji wa hewa ukaa.

Hatahivyo, Dkt. Dugange alitumia nafasi hiyo kuwasisitiza Wananchi wa Tanzania kuendelea kuuenzi na kuusemea muungano na kuhamasisha mashuleni watoto wajifunze umuhimu wa muungano wa (Tanganyika na Zanzibar). Pia, amewaomba viongozi wote kuanzia ngazi ya Kata, Wilaya na Mikoa agenda ya umuhimu wa Muungano iwe ya kudumu.

Matangazo

  • TANGAZO LA USAILI WA WAANDAAJI WA MAUDHUI MTANDAONI WILAYA YA KARAGWE February 02, 2026
  • TANGAZO LA KAZI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA January 20, 2026
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO September 17, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 19, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DKT.DUGANGE ABARIKI MRADI WA KUDHIBITI TAKA NGUMU KARAGWE DC, AZINDUA GARI MAALUM KWAAJILI YA KUKUSANYA, KUSAFIRISHA, KUTUNZA NA UTUPAJI SALAMA.

    February 27, 2026
  • DC LAIZER ATAKA UTAMADUNI WA WANAFUNZI KUPANDA MITI WANAPOANZA SHULE KUENDELEZWA.

    February 01, 2026
  • MADIWANI 32 KARAGWE DC WAIANZA SAFARI YA UTUMISHI KWA WANANCHI (2025 - 2030) RASMI LEO.

    December 02, 2025
  • DC LAIZER AONGOZA KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE KWA NGAZI YA KATA KWA ROBO YA KWANZA JULAI-SEPTEMBA

    November 14, 2025
  • Angalia zote

Video

ZIARA YA WALIMU KATIKA HIFADHI YA TAIFA NGORONGORO
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 028-2227148

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.