• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

United Republic of Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

KARAGWE DC YAFANYA KIKAO CHA AWALI KUANDAA BAJETI YA UTEKELEZAJI WA HUDUMA ZA LISHE 2025/2026

Imewekwa: December 18th, 2024

KARAGWE DC YAFANYA KIKAO CHA AWALI KUANDAA BAJETI YA UTEKELEZAJI WA HUDUMA ZA LISHE 2025/2026

Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe kupitia Idara ya Afya kwa kushirikiana  na Sekta mtambuka pamoja na Wadau mbalimbali  imefanya kikao cha awali kuandaa mpango bajeti wa utekelezaji wa awali wa huduma za lishe kwa mwaka wa fedha 2025/2026.

Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe Bi. Beatrice Laurent ambaye pia ni Afisa Afya wa Wilaya amesema kuwa bajeti ya utekelezaji wa huduma ya lishe kwa mwaka 2025/2026 itafuata muongozo uliotolewa na Serikali katika kuhakikisha jamii inataarifa sahihi kuhusiana na ulaji wa vyakula vyenye virutubisho ili kuepukana na udumavu.

“Tumefanya kikao cha awali cha kuandaa bajeti itakayotuongoza kutekeleza huduma za lishe kwa mwaka 2025/2026 kwa kuzingatia muongozo unavyotutaka na changamoto tunazopitia kama Mkoa na Wilaya kuhusiana na Lishe. Makadirio ya bajeti hii ni kama shillingi Millioni 120 kufuatia bajeti zilizowasilishwa kwenye kikao hiki kutoka Idara ya Afya, Idara ya Elimu Msingi na Sekondari, Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi na Wadau kutoka CBDIO bado tunaendelea kujadili ili kupata bajeti halisi tutakayoenda nayo” Alisema Bi. Beatrice.

Naye, Afisa Lishe wa Mkoa wa Kagera Bi. Joanitha Jovin amesema kuwa vipaumbele vya bajeti za lishe kwa kila Wilaya vimejikita kwenye kufuata muongozo uliotolewa na Serikali Kuu ambao kwa kiasi kikubwa umetaka Elimu ya Lishe inatolewa kwa Makundi yote katika jamii. Pia kuhakikisha huduma za lishe zinapatikana na Vifaa vya kusaidia kwenye utoaji wa matibabu yatokanayo na ukosefu wa lishe bora.

Wakati akiwasilisha makadirio ya awali ya bajeti ya huduma za Lishe kwa mwaka 2025/2026 ya Idara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Bi. Asnath Thobiath amesema kuwa bajeti hiyo imeweka baje mikakati mbali mbali ya kuhakikisha huduma za Lishe zinatolewa ipasavyo ikiwemo utoaji wa elimu kupitia majukwaa mbalimbali kama vile madhimisho ya wiki za lishe, siku ya kitaifa ya lishe, Wiki ya unyonyeshaji na Siku za kliniki za mama wajawazito. Pia kuwezesha ununuzi wa dawa za utapiamlo, kuwezesha shule kupata virutishi pamoja na kufanya madarasa ya ukarabati lishe.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMI 10 October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI KADA YA DEREVA II NA WAANDISHI WAENDESHA OFISI II September 30, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WASAIDIZI KUMBUKUMBU DARAJA LA II NA MTENDAJI WA KIJIJI WA III October 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI February 21, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • HATI SAFI ISIWE BANGO LA KUTUPUMZISHA TUJITUME ZAIDI KUIDUMISHA - RC MWASSA.

    June 17, 2025
  • KARAGWE DC YAADHIMISHA SIKU YA MTOTO WA AFRIKA.

    June 16, 2025
  • PPRA YAKAMILISHA MAFUNZO YA SIKU 3 YA MFUMO WA NeST KARAGWE DC.

    June 13, 2025
  • WATUMISHI WAPYA WA KADA MBALIMBALI KARAGWE DC WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI YA UTUMISHI WA UMMA.

    June 11, 2025
  • Angalia zote

Video

SHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 KARAGWE TUMEJIPANGA
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 028-2227148

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.