Wadau wanaotoa huduma za afya binafsi na Umma wamefanya kikao na kuwekana sawa.
Wafanyabiashara wameingia makubaliano na Halmashauri ya wilaya ya Karagwe ya kujenga maduka ya biashara katika eneo la kuzunguka stendi ya Kayanga.
Shule ya sekondari Bashungwa kuwa maalum. Mazingira yake yanafaa kwa wanafunzi wa bweni. Halmashauri kukamilisha miundombinu iliyosalia.
Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.