• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
KARAGWE DISTRICT COUNCIL
KARAGWE DISTRICT COUNCIL

United Republic of Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KARAGWE

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
        • Sekondari
        • Msingi
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka ngumu
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ufugaji na Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayokuja
    • Iliyotekelezwa
    • Inayoendelea
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Sheria
    • Mpango mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

DC LAISER AZINDUA CHANJO YA MATONE YA VITAMIN A,

Imewekwa: June 3rd, 2024

Mkuu wa wilaya ya Karagwe Mhe: Julius Kalanga Laizer, amewataka wananchi kuacha kupuuza huduma mbalimbali za chanjo zinazotolewa na serikali kwa watoto, kwani zimethibitishwa na wataalamu  wa afya

Hayo yamesemwa na mkuu wa Wilaya ya Karagwe Julius Laizer, wakati akizindua kampeni ya chanjo ya matone ya vitamini A kwa watoto wenye umri wa miezi sita hadi mika 5 iliyozinduliwa katika kituo cha Afya Kayanga ikielezwa kuwa zoezi hilo litaendelea mpaka tarehe 30 mwezi huu.

 “Chanjo zinazotolewa na serikali ni salama hivyo wananchi wasisite kuwapeleka watoto wao kupata chnjo hiyo kwani ni salama na haina madhara yoyote”

Aidha, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe Henirietha William ambaye pia ni Afisa maendeleo ya jamii Wilaya ya Karagwe kabla ya uzinduzi amesema kwenye kampeni hii kutakuwa na utoaji wa matone kwa watoto wa miezi sita hadi miezi 59 yaani miaka mitano pamoja na utoaji wa dawa za kutibu minyoo kwa watoto wenye umri wa mwaka mmoja hadi miaka 5 sambamba na upimaji wa hali ya lishe kwa watoto hao.

Pia, Afisa lishe Wilaya ya Karagwe, Lustika Mgumba, amesema lengo la kufanya kampeni hii ni ili kusaidia watoto kuimarisha kinga ya mwili na kuzuia magonjwa mbalimbali yakiwemo ya kuhara na kupelekea mkoa kuendelea kuondoza kwa udumavu na utapiamlo.

Kampain ya chanjo hiyo hutolewa mala mbili kwa mwaka mwezi wa sita na mwezi wa 12 na Kauli mbiu ya  kampaini ya Chanjo ya matone ya vitamini A, ni “HUDUMA ZA MWEZI WA AFYA NA LISHE YA MTOTO NI MUHIMU KWA UKUAJI  WA MAENDELEO YA MTOTO TUMFIKIE KILA MTOTO MAHALI POPOTE ALIPO”.






Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMI 10 October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI KADA YA DEREVA II NA WAANDISHI WAENDESHA OFISI II September 30, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WASAIDIZI KUMBUKUMBU DARAJA LA II NA MTENDAJI WA KIJIJI WA III October 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI February 21, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAKETI KUJADILI UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE, KIPINDI CHA ROBO YA TATU 2024/2025.

    April 22, 2025
  • KUELEKEA MSIMU WA KAHAWA 2025/2026: MAAFISA UGANI KARAGWE DC WAPEWA MAFUNZO ILI KUWASAIDIA WANANCHI KUONGEZA THAMANI YA ZAO HILO.

    April 11, 2025
  • WALENGWA WA TASAF KARAGWE DC WANUFAIKA NA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA KIFEDHA WALIZOANZISHA.

    March 17, 2025
  • DC LAIZER AWATAKA WANAWAKE WA KARAGWE KUJIIMARISHA KIUCHUMI.

    March 08, 2025
  • Angalia zote

Video

SHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 KARAGWE TUMEJIPANGA
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • History
  • Dira na Dhamira
  • Fomu za mbalimbali
  • NEEMA INAKUJA KWA WAKULIMA
  • FEDHA ZILIZOPOKELEWA KWA AJILI YA MFUKO WA JIMBO

Viunganishi vihusishi

  • NECTA
  • UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAIFA
  • TAMISEMI
  • FFARS
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    KARAGWE KAGERA TANZANIA

    Anuani ya posta: BOX 20 KARAGWE

    Simu: 028-2227148

    Simu ya mkononi: 028-2227148

    Barua pepe: ded@karagwedc.go.tz ded.karagwedc@kagera.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright©2017 karagwedc. All rights reserved.